
Rita Palson

Khadija Mwanamboka

Fina Mango

Nancy sumari

Jokate Mwegelo

Lady Jay Dee

Sofia Bianaku
Hii ilikuwa ni katika kuadhimisha siku ya wapendanao duniani mwaka huu ambapo Balozi wa Redds Victoria Martin kupita Redds aliwakabidhi zawadi za kuwatunuku tuzo ya utambuzi wa kazi na mafanikio ya kila mwanamke mtajwa hapo juu na wengine. Kushuhudia zoezi hili ni Mr Mpeli Nsekela.
No comments:
Post a Comment