Walio zawadiwa ni pamoja na:
Rita Palson
Khadija Mwanamboka
Fina Mango
Nancy sumari
Jokate Mwegelo
Lady Jay Dee
Sofia Bianaku
Hii ilikuwa ni katika kuadhimisha siku ya wapendanao duniani mwaka huu ambapo Balozi wa Redds Victoria Martin kupita Redds aliwakabidhi zawadi za kuwatunuku tuzo ya utambuzi wa kazi na mafanikio ya kila mwanamke mtajwa hapo juu na wengine. Kushuhudia zoezi hili ni Mr Mpeli Nsekela.
Thursday, April 17, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment