Thursday, April 17, 2008

Tuzo za Redds kwa wanawake wataftaji (Febr. 8)

Walio zawadiwa ni pamoja na:

Rita Palson


Khadija Mwanamboka


Fina Mango


Nancy sumari


Jokate Mwegelo


Lady Jay Dee


Sofia Bianaku

Hii ilikuwa ni katika kuadhimisha siku ya wapendanao duniani mwaka huu ambapo Balozi wa Redds Victoria Martin kupita Redds aliwakabidhi zawadi za kuwatunuku tuzo ya utambuzi wa kazi na mafanikio ya kila mwanamke mtajwa hapo juu na wengine. Kushuhudia zoezi hili ni Mr Mpeli Nsekela.

No comments: