Wednesday, April 23, 2008

KAZI ZA KIJAMII

PONGEZI:
Victoria Martin akiwapongoza wakina mama waliojifungua siku ya mkesha wa siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila tarehe 8 March





Nasi mkuu wa Hospitali ya Agakhan akishukuru mbele ya vyombo vya habari kwa kutembelewa hospitalini hapo na kwa zawadi.


MSAADA:

Victoria na wengine na Watoto yatima wa Tanzania Mitindo House


Miss Tanga, Balozi wa Redds Victoria Martin akimkabidhi mgeni rasmi Mama Anna Kilango kiasi cha shilingi laki mbili cash ikiwa ni moja ya mchango wake katika kukizindia kituo cha watoto yatima cha (Tanzania Mitindo House) kilichoasisiwa na Khadija Mwanamboka na wenzake.

No comments: