Wednesday, April 23, 2008


Mshindi wa shindano la Big Bro Africa II 2007 Tatiana Durao akiwa amepozi na balozi wa Redds Victoria Martin leo asubuhi ndani ya hoteli ya Movenpick baada ya kuwasili kwa ajili ya kuongea na waandishi wa habari kuhusu maonyesho ya mavazi nchini.


Hapa wanafurahia jambo



Vicky ampokea Tatiana


Mshindi wa tatu wa shindano la Big Brother Africa II mwaka 2007 Tatiana Durao akiwa airport baada ya kupokelewa na balozi wa Redds, Miss Tanga 2007, Miss Tanzania Kanda ya Kaskazini Victoria Martin baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere jana kwa ajili ya maonyesho mawili ya mavazi. Guess who? amepagwa kuchill naye akiwa bongo.... Vicky.

No comments: